Habari Mpya
-
-
07
March
2026TRC YAKABIDHIWA ENEO LA ISAKA KWAAJILI YA KUPOKEA MIZIGO KUTOKA BANDARI YA DSM KWENDA NJE YA NCHI
Shirika la Reli Tanzania (TRC), limekabidhiwa eneo la Isaka, Mkoani Shinyanga, kwaajili ya kupokea na kushushia mizigo kutoka Bandari ya Dsm na kisha kusafirishwa ndani na nje ya nchi Soma zaidi
-
05
March
2026WANANCHI MKOANI MWANZA WAPATA ELIMU KUHUSU USALAMA WA MRADI WA SGR
Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaendelea na kampeni ya kuhimiza wananchi waishio karibu na mradi wa Standard Gauge Railway (SGR) kipande cha tano Isaka - Mwanza Soma zaidi
-
17
February
2026TRC YAANZA RASMI USAFIRISHAJI WA MIZIGO KWA KUTUMIA CONTAINER CARRIERS SGR
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza rasmi usafirishaji wa makasha kwa kutumia reli ya Standard Gauge, hatua inayolenga kupanua wigo wa biashara, kupunguza msongamano wa mizigo bandarini na kurahisisha usafirishaji wa mizigo kwenda mikoa ya kati ya nchi. Soma zaidi
-
27
January
2026TRC YAUNGANA NA RAIS SAMIA UPANDAJI WA MITI JAN. 27
Shirika la Reli Tanzania (TRC) likishirikiana na wadau mbalimbali, limepanda jumla ya miti 150 katika stesheni ya abiria ya SGR na stesheni ya mizigo Januari 27, 2026 Soma zaidi
-
18
January
2026MRADI WA TIRP II KUONGEZA UFANISI WA RELI YA ZAMANI
Shirika la Reli Tanzania linaendelea na awamu ya pili ya mradi wa ukarabati na uboreshaji wa miundombinu ya reli ya zamani ( Tanzania Intermodal Rail Development Project Phase II - TIRP II) Soma zaidi

